Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 
Kapteni Mstaafu George Mkuchika (kushoto)  akiwasili chuo cha Chuo Cha 
Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mtwara ikiwa ni mwendelezo wa 
ziara zake za kutembelea matawi ya chuo hicho nchini  kulia ni 
Mkurugenzi wa TPSC Tawi la Mtwara Dkt. Emmanuel Shindika,ziara hiyo 
ilifanyika mwishoni mwa wiki 
Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 
Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati)  akipata maelezo kutoka 
Mkurugenzi wa TPSC Tawi la Mtwara Dkt. Emmanuel Shindika (kushoto) akiwa
 katika moja ya madarasa ya chuo hicho tawi la Mtwara  ikiwa ni 
mwendelezo wa ziara zake za kutembelea matawi ya chuo hicho nchini, 
ziara hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.Wengine pichani ni watumishi wa 
chuo hicho.
Kwaya 
ya TPSC tawi la Mtwara ikitoa burudani mbele ya Waziri wa Nchi Ofisi ya 
Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu 
George Mkuchika (Hayupo pichani), aliyefanya ziara fupi chuoni mwishoni 
mwa wiki sambamba na kupokea taarifa ya tawi na kusikiliza changamoto za
 watumishi na wanachuo.
Baadhi
 ya wanachuo wa Chuo cha Utumishi wa Umma TPSC tawi la Mtwara, 
wakimsikiliza kwa makini waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya 
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (Hayupo
 pichani), aliyefanya ziara fupi chuoni hapo mwishoni mwa wiki sambamba 
na kupokea taarifa ya chuo na kusikiliza changamoto za watumishi na 
wanachuo.
 

 
 
 
 
 

0 comments: