Wednesday, 21 March 2018

Thursday, 8 March 2018

Wednesday, 17 August 2016

AUDIO  .MKUU WA MKOA MBEYA MH,AMOS MAKALA AMETOA MAJIBU YA UFISADI WA MILLION 489.
MKUU WA MKOA WA MBEYA,AMOS GABRIEL MAKALLA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Bw, AMOSI GABRIEL MAKALA amewataka wananchi jijini Mbeya kuwa na subira katika kupata marejesho wa kuwabaini wahusika wa ubadhilifu wa fedha zaidi ya milioni 489 kwa ajili ya ujenzi wa soko la mwanjelwa. 

Mkala ameyasema hayo hii leo katika mahojiano na kipindi cha check pont ambapo amesema kufuatia siku tatu alizopewa tayari taarifa imeshawasilishwa kwa waziri mkuu hivyo wananchi watanatakiwa kuvuta subira .

 Aidha amesema licha ya kuwasilisha taarifa hiyom kwa waziri mkuu bado mkaguzi mkuu atahakikisha anachunguza kwa kina lengo ikiwa ni kubaini wahusika wa fedha hizo na kuweza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa haki . 

Pia makala amewataka wananchi wa jiji la mbeya kutoa ushirikiano katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo lengo ili kuweza kujenga uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla . WAWEZA

WAWEZA MSIKILIZA HAPA RC,MAKALLA

Thursday, 5 May 2016

FUNDI MITAMBO WA REDIO BOMBA FM 104.0 MBEYA ATISHIA KUJIUWA KWA MADAI YA KUDAI MSHAHARA WAKE....

Fundi Mitambo wa Redio Bomba Fm 104.0 iliyopo Jijini Mbeya Jina lake Limehifadhiwa alileta tafrani Mchana wa Leo Mara baada ya Kupanda Juu ya Mtambo wa Redio hiyo Nakutishia kujitupa Chimi kwa Madai ya kuitaji Kulipwa Pesa zake kutoka kwenye kituo hicho cha Redio kilichopo maeneo ya Block "T" Jijini Mbeya...
Fundi Mitambo wa Redio Bomba Fm ambae jinalake limehifadhiwa akiwa juu ya Mnara wa Redio hiyo huku akisikika kusema "Mpaka Kieleweke Leo nataka Pesa Zangu..."
Mpaka Kieleweke...
Baadhi ya wakazi na Wananchi wa Jiji la Mbeya wakishuhudia tukio hilo...
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.