Thursday, 25 August 2016
Tuesday, 23 August 2016
Mpiga tarumbeta
Headley Bennett, ambaye alishiriki katika wimbo wa kwanza wa mwanamuziki
maarufu wa nyimbo za rege Bob Marley 'Judge Not,' amefariki akiwa na
umri wa miaka 85.
Mwanawe Carol Bennett, alithibitisha kifo cha mwanamuziki huyo siku ya Jumapili.Carol hakusema sababu maalum ya kifo cha mwanamuziki huyo, lakini alisema babake alikuwa akiugua shinikizo la damu na hivi majusi alipatika na saratani ya kiume.
Alituzwa na serikali ya Jamaica mwaka wa 2005 kama Mjamaica wa sita mwenye hadhi ya juu.
Moja
ya headline kwenye mitandao ya kijamii iliyochukua nafasi usiku wa
August 22 2016 ni pamoja na tukio la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa staa wa
bongo flava kutokea katika label ya WCB Raymond ambapo uongozi wake uliamua kumfanyia suprise ya zawadi ya gari aina ya Toyota Rav 4 yenye thamani ya milioni 20 za kitanzania.
Leo August 23 Raymond kupitia ukurasa wake wa instagram aliamua kuyatoa yake ya moyoni kwa kuandika…>>>’Kweli
Nimeamini Mungu Hana upendeleo.nilikua mtu nilie jikatia tamaa ndani ya
miaka takribani mi nne nilikua nikiangaika na muziki wangu nakushukuru
sana sana‘
‘Kaka Lao Diamond Platnumz Umenifundisha vitu vingi saaaaaanaaa hadi leo naiona njia boss wangu Babu Tale ni mwaka wa tano sasa toka Umenijua umenivumilia kwa mengi hadi leo hii haujanichoka na unanisaidia kwa moyo mmoja’
‘Boss Sallam Sk Asante sana kwakupigania kila siku thamani ya muziki wangu nakuakikisha nafika sehemu nzuri Mkubwa Fella wewe ni zaidi ya mzazi maana umenilea nakunifundisha meeengi kwenye muziki‘
‘Madee Sitoacha kukushukuru kaka lao wewe nikioo naamini unafurahi kuniona mdogo wako hapa nilipo maana unanijua saaaaanaaaa‘