Home
Entertainment
Msanii Aliyewahi Kusema Yeye Ni BIKRA Na Aliyeingia Katika Shutuma Za Kusagana Na Mwanamke Mwenzake, Avalishwa Pete Ya Uchumba, Tazama picha
Msanii Aliyewahi Kusema Yeye Ni BIKRA Na Aliyeingia Katika Shutuma Za Kusagana Na Mwanamke Mwenzake, Avalishwa Pete Ya Uchumba, Tazama picha
Iliwahi kuripotiwa hapo
awali kuwa Diana Kimario anajihusisha na maswala ya usagaji, na kabla ya
hapo aliwahi kutamka mwenyewe kuwa hajawahi kufanya mapenzi na mwanamme
yeyote tangu azaliwe, vile vile Diana aliwahi kunukuliwa akisema kuwa
"Kamwe siwezi kumvulia ch*pi mwanaume aliyetembea na Lulu Michael ambaye
ni shoga yake kipenzi" Jana kupitia mtandao wa instagram Diana
aliachia picha akivalishwa pete, Haijulikani kama ndiyo kweli
amevalishwa au ni maigizo yao
0 comments: