Thursday, 2 July 2015

Rihanna Alimfunga Mdomo Floyd Mayweather Kwa Tape Walipokutana Usiku Wa Tuzo Za BET.{PICHA}

Kumfunga mdomo Floyd Mayweather si rahisi. Lakini mwanamuziki wa miondoko ya R&B Rihanna a.k.a Riri alijaribu bahati yake kumnyamazisha Mtu Pesa na akafanikiwa, wakati wawili hao walipokuwa wameketi jirani katika tuzo za BET usiku wakuamkia tarehe 29.
Nyota wa muziki wa R&B, Rihanna alifanya hivyo ili kumzuia mkali huyo wa makode asiendelee kuongea ongea akiwa shughuli kwenye  hiyo.
The money Mayweather  alikuwa anashindania kipengele cha mwanamichezo wa kiume wa mwaka lakini alipigwa chini na Stephen Curry.
Stephen Curry
Sherehe za tuzo hizo ambazo huandaliwa na Televisheni ya Burudani ya Burudani za Watu Weusi 'Black Entertainment Television Awards 'zilifanyika katika ukumbi wa Microsoft Theatre mjini Los Angeles, California, na watu maarufu Wamarekani weusi wakiwemo wanamuziki, waigizaji, waimbaji, wanamichezo na wengineo walihudhuria.
PICHA ZAIDI 
AKIWA ANAJIANDAA KUMFUNGA Mayweather 



RIHANA AKIMFUNGA Mayweather 
RIHANA KAMALIZA KUMFUNGA Mayweather jimmcarter

post written by:

Related Posts

0 comments: