Baada ya raia wa nchi hiyo kuona kitendo hicho, nao walianza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii wakiwa wanaongea na simu pembezoni mwa barabara na wengine ku-edit picha ya Rais Museveni na kuiweka maeneo tofauti tofauti
Hapa chini ni picha zilizowekwa kwenye mitandao ya kijamii.


0 comments: