Thursday, 14 July 2016

Raia wa Uganda waweka picha za utani mitandaoni baada ya Rais Museveni kuongea na simu pembeni ya barabara

Jana Julai 12 Rais wa Uganda, Yoweri Museveni alisimamisha msafara wake na kuketi pembezoni mwa barabara ambapo alizungumza na simu kwa takribani dakika 30.
Baada ya raia wa nchi hiyo kuona kitendo hicho, nao walianza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii wakiwa wanaongea na simu pembezoni mwa barabara na wengine ku-edit picha ya Rais Museveni na kuiweka maeneo tofauti tofauti
Hapa chini ni picha zilizowekwa kwenye mitandao ya kijamii.
- -- --- ---- ----- ------ ------- -------- 1 (1) 2 (1) 2 (2) 11 12 13 14 15 16

M72 M73 M74 m76

Previous Post
Next Post

post written by:

0 comments: